Malawi yawapoteza mawaziri wawili leo kutokana na corona.

Malawi imepata pigo kubwa baada ya mawaziri wake wawili kufariki dunia kutokana na Covid 19. Waziri wa habari wa Malawi, Gospel Kazako amethibitisha kuwa mawaziri hao ambao ni na Waziri wa uchukuzi Sidik Mia wamefariki ndani ya masaa mawili tofauti. Mwishoni mwa juma, rais wa nchi hiyo Lazarus Chakwera alitoa hotuba maalumu kwa njia ya